Ditopile awaonya wanasiasa
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile, amewashukia wanasiasa wanaotaka kuwagawa Watanzania wanapojadili suala la makubaliano ya ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari kadhaa nchini ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam.