DP World kuleta mageuzi makubwa bandari ya Dar

Serikali ya Tanzania inatarajia kuingia makubaliano na kampuni ya Dubai ya DP World ya kuweka uwekezaji binafsi kwenye bandari ya Dar es Salaam ili kuongeza ufanisi na kiwango cha mizigo inayopita kwenye bandari hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS