Ujenzi daraja la Pangani wafikia asilimia 5

Viongozi wakikagua ujenzi wa daraja la Pangani

Utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 umefikia asilimia 5 na tayari kazi mbalimbali zimefanyika ikiwemo ujenzi wa daraja la muda katika eneo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS