BBT Mifugo kuwezesha vijana nchini

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kufuatia Mkoa wa Tabora kuongoza kwa  kuwa na idadi kubwa ya mifugo hapa nchini wamepanga kuanzisha programu kabambe ya BBT Mifugo itakayowawezesha vijana kunenepesha mifugo na  kuufanya mkoa huo kuwa kinara na lango kuu la kuuza nyama

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS