Mkuu wa chuo cha DPA SACP lazaro Mambosasa, akizungumza na Maofisa, Wakaguzi na Askari
Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA) kimeendelea kutoa elimu na mafunzo mbalimbali kwa Maofisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali katika kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapotokea.