Kikapu ni ajira tosha- Rama Dee

Msanii wa bongo fleva na mkali wa R&B, Rama Dee.

Msanii wa bongo fleva na mkali wa R&B, Rama Dee amefunguka kwa kuwataka vijana kuchangamkia fursa ya ajira inayotokana na mchezo wa mpira wa kikapu ili waweze kuondokana na janga la utegemezi katika familia pamoja na kujiinua kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS