"Vijana wamewezeshwa kujiajiri nchini" - Ulega

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Uleg akizungumza katika mkutano wa 16 wa Baraza la Kisekta la Kilimo na Usalama wa Chakula la Mawaziri wa EAC

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amewahimiza Mawaziri wa Nchi Wanachama wa EAC wanaosimamia kilimo, chakula, uvuvi na ukuzaji viumbe maji kushirikiana na sekta binafsi kuongeza uwekezaji katika sekta hizo ili kuimarisha usalama wa chakula na kukuza uchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS