Serikali yawasikiliza wananchi wa Tandale
Hatimaye serikali imesikia kilio cha wananchi na kuweka matuta katika barabara ya kiboko baa iliyopo Tandale Muhalitani ambapo wananchi wa mtaa huo waliifunga barabara hiyo kwa siku tatu wakishinikiza kuwekwa matuta kutokana na kutokea kwa ajali za mara kwa mara