Yanga yapongezwa, "Ni jitihada za uzalendo"

Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa la Tanzania, Dkt. Noel Lwoga na kulia ni wachezaji wa Yanga

Timu ya Yanga nchini, imepongezwa kwa kazi kubwa ya kujituma na kuiletea heshima Tanzania kimataifa kwa kuifunga timu ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini kwa goli 2-1 kwenye Kombe la Shirikisho Barani Afrika na kutinga fainali, jitihada hizo zinatambulika kuwa ni Uzalendo wa hali ya juu. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS