Utata vifo vya vichanga, mmoja akutwa amechunwa

Kushoto ni mmoja wa kichanga aliyechunwa ngozi usoni na kulia ni Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora ACP  Costantine Mbogambi.

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linaendelea na uchunguzi kufuatia utata wa vifo vya watoto mapacha  ambao walizaliwa njiti katika kituo cha afya Kaliua kilichopo mkoani humo ambapo mtoto mmoja alikutwa ameondolewa ngozi ya  paji la uso na kuharibiwa jicho moja la upande wa kulia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS