Wananchi walia tembo kuwasababishia njaa Wananchi wa wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameiomba serikali iwapatie chakula cha msaada bure kwani kwa sasa wana adha kubwa ya njaa iliyosababishwa na Tembo kula mazao yao yote shambani Read more about Wananchi walia tembo kuwasababishia njaa