TAKUKURU yabaini upotevu mapato Kagera

Naibu Mkuu wa Takukuru Kagera, Ezekiel Senkala

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kagera imebaini upotevu wa mapato ya Serikali katika minada ya mifugo, ambao unatokana na kuwepo kwa usimamizi usio imara kwa wafanyabiashara, ambao unasababisha kutotozwa ushuru unaolingana na idadi ya mifugo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS