Mpango mkakati wa miaka 10 wa madini

Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali

Wizara ya Madini imeanza maandalizi ya Mpango Mkakati wa Miaka 10 wa Wizara hiyo ambapo Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali, amekutana na kuzungumza na Washauri wa kodi jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS