Mpango mkakati wa miaka 10 wa madini Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali Wizara ya Madini imeanza maandalizi ya Mpango Mkakati wa Miaka 10 wa Wizara hiyo ambapo Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali, amekutana na kuzungumza na Washauri wa kodi jijini Dar es Salaam. Read more about Mpango mkakati wa miaka 10 wa madini