Wachungaji wamlawiti mtoto wa miaka minne
Mtoto wa miaka minne mkazi wa mtaa wa Mwatulole Halmashauri ya Mji Geita ambaye jina lake limehifadhiwa amelawitiwa na wachungaji wawili wa ng'ombe wa nyumbani kwao kwa kumlaghai watampa pipi watakaporejea nyumbani.