Bernard Membe azikwa Rondo

Jeneza lenye mwili wa Bernard Membe likiwekwa kwenye makazi yake ya milele

Mwili wa aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, leo umezikwa nyumbani kwake Chiponda Rondo mkoani Lindi huku baadhi ya viongozi wa sasa na waliostaafu wakizungumza kwa namna tofauti tofauti walivyomfahamu mwanadiplomasia huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS