Bunge laidhinisha bilioni 295.9 Wizara ya Mifugo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega

Bunge limeidhinisha bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2023/2024 yenye thamani ya shilingi bilioni 295.9, ambapo kiasi cha shilingi bilioni 112 kitatumika kwenye sekta ya mifugo huku shilingi bilioni 183 zikienda kutumika kwenye sekta ya uvuvi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS