Gor Mahia mabingwa SportPesa Super Cup

Washindi wa SportPesa Super Cup wakishangilia Kombe lao

Hatimaye fainali za michuano ya SportPesa Super Cup  zimemalizika jioni ya leo huku timu ya Gor Mahia kutoka Kenya ikuchukua ubingwa baada ya kuitandika AFC Leopard kwa mabao 3-0 katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS