Asimamishwa kazi kwa kupeleka mganga shuleni

Vitendo vya ushirikina na kupiga ramli chonganishi vimesababisha mkuu wa shule ya Sekondari Imenya Kata ya Itwangi Halmashauri ya Shinyanga Seleman Karavina  kusimamishwa kazi  kutokana na kupeleka mganga wa kienyeji shuleni na kupiga  ramli chonganishi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS