Mtumishi GGML aliyeuawa kikatili ameacha mtoto
Mwili wa mfanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa GGML Milembe Selemani (43), aliyefariki dunia tarehe 26 ya mwezi huu kwa kukatwakatwa viungo vya mwili wake umeagwa nyumbani kwake katika Kijiji cha Sanjo, Kata ya Usagara wilayani Misungwi mkoani Mwanza.