Serikali yetu haitarudi nyuma - Samia

Makamu wa Rais Samia Suluhu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya awamu ya tano haitarudi nyuma katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini mpaka hapo vitendo hivyo vitakapokoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS