KUSHUKA KWA NYANYA Wafanyabiashara wa nyanya wakisubiri wateja katika Soko la Ilala, Dar es Salaam jana. Wanadai bei imeshuka kipindi hiki cha Ramadhani kutoka Sh. 20,000 hadi Sh. 10,000 kwa tenga. Read more about KUSHUKA KWA NYANYA