Hatua ya mtoano Sprite BBall Kings yaiva

Mkuu wa vipindi vya East Africa Radio Nasser Kingu (Kushoto) na mtangazaji wa EATV, Suzy, wakiendesha droo ya tatu kupanga ratiba ya michuano ya Sprite BBall Kings iliyofanyika usiku wa kuamkia leo.

Droo ya tatu ya kupanga ratiba ya michuano ya kikapu ya 'Sprite BBall Kings' imefanyika usiku wa kuamkia leo Jijini Dar es salaam kwa usimamizi wa Shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania {TBF} kushirikiana na EATV LTD na kushuhudiwa na timu shiriki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS