"Jeshi la uhifadhi linafanya kazi vizuri"- Masanja

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Serikali imesema taasisi za uhifadhi nchini zimeendelea kutekeleza majukumu yake ipasavyo kufuatia muundo wa sasa wa Jeshi la Uhifadhi kuziwezesha taasisi hizo kufanya kazi zake vizuri huku kila taasisi ikiwa inasimamiwa na Kamishna wa Uhifadhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS