"Real Madrid ni Real Madrid" - Ronaldo

Cristiano Ronaldo juu akishangilia na wachezaji wenzake na chini ni picha zinazoonesha mabao mawili ya utata wa offside aliyofunga nyota huyo.

Cristiano Ronaldo amesema Real Madrid, walistahili kuifunga Bayern Munich, kwa kuwa walicheza vizuri, na yeye mwenyewe kafurahia, kufunga hat-trick, katika ushindi wa mabao 4-2, mchezo wa marudiano hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa Barani Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS