Tanzania yapaa kwa nafasi 22 viwango vya FIFA

Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars

Tanzania imepaa kwa nafasi 22 hadi nafasi ya 135 kutoka nafasi ya 157 kati ya mataifa 211 katika viwango vya ubora wa soka duniani vilivyotolewa na FIFA leo Aprili 6, 2017.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS