Tanzania yapaa kwa nafasi 22 viwango vya FIFA Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars Tanzania imepaa kwa nafasi 22 hadi nafasi ya 135 kutoka nafasi ya 157 kati ya mataifa 211 katika viwango vya ubora wa soka duniani vilivyotolewa na FIFA leo Aprili 6, 2017. Read more about Tanzania yapaa kwa nafasi 22 viwango vya FIFA