Serengeti Boys safarini kuelekea 'vitani'
Kikosi cha cha wachezaji 23 cha Serengeti Boys pamoja na viongozi kimeondoka leo kuelekea nchini Morocco kwaajili ya kambi ya mwezi mmoja kujiandaa na mashindano ya AFCON kwa vijana huku kikiahidi kuitumia kambi hiyo ili kurudisha matumaini Tanzania