Uwezo wa Billnass wamuumbua Jay Moe

Billnas (kushoto) na Jay Moe

Mkongwe wa Hip Hop, Juma Mchopanga ‘Jay Moe’ ambaye anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Nisaidie Kushare’ amekiri kutamani kumuandikia mistari pamoja na kufanya kazi na rapa Billnass kama atakuwa tayari, licha ya kumdharau siku za mwanzo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS