Uwezo wa Billnass wamuumbua Jay Moe
Mkongwe wa Hip Hop, Juma Mchopanga ‘Jay Moe’ ambaye anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Nisaidie Kushare’ amekiri kutamani kumuandikia mistari pamoja na kufanya kazi na rapa Billnass kama atakuwa tayari, licha ya kumdharau siku za mwanzo.