Hakuna tena mgomo

Mgomo wa vyombo vya usafiri uliokuwa umetangazwa kufanyika nchi nzima na Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) kwa kushirikiana na vyama vingine vya usafirishaji umefutwa baada ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kuingilia kati

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS