VIDEO: Lijualikali baada ya kutoka gerezani

Peter Lijualikali akizungumza na wanahabari

Mbunge wa Kilombero kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Peter Lijualikali leo amefanikiwa kuachiwa huru na maafisa wa gereza la Ukonga baada ya kukamilisha taratibu za kutoka gerezani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS