Ethiopia kushusha neema ATCL
Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Dessalegn amemhakikishia Rais Magufuli kuwa nchi yake ipo tayari kuimarisha na kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wake na Tanzania utakaosaidia kuleta manufaa makubwa zaidi kiuchumi na kukabili umasikini