Lijualikali aachiwa huru

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetengua hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Kilombero ya kifungo cha miezi 6 gerezani kwa Mbunge wa Kilombero Mh. Peter Lijuakali na kumuachia huru kuanzia leo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS