Majaliwa atinga Buzwagi, achukua mchanga

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa mgodini Buzwagi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametinga kwenye mgodi wa dhahabu wa Buzwagi uliopo Kahama mkoani Shinyanga na kuchukua sampuli za mchanga kwa lengo la kwenda kuyapima kwa wataalamu wa madini ili kubaini kiasi cha dhahabu kilichomo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS