Harmorapa hana pesa ya kunilipa - Juma Nature

Nature, Harmorapa

Mkongwe wa bongo fleva Juma Kassim Nature 'Sir Nature' amekanusha vikali kulipwa na msanii Harmorapa katika wimbo wa 'Kiboko ya mabishoo' na kudai kwamba kijana huyo hana pesa za kumlipa na kusisitiza yeye alifanya kwa upendo tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS