Stars yabadili kikosi kuivaa Burundi

Wachezaji wa Taifa Stars katika mazoezi

Kikosi cha kwanza cha Taifa Stars kitakachoivaa Burundi katika mchezo wa kirafiki hii leo kimewekwa hadharani, huku kikionesha mabadiliko kadhaa katika baadhi ya idara ikilinganishwa na kile kilichoanza kuivaa Botswana siku ya Jumamosi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS