Tambwe, Mavugo kuwageuzia kibao watanzania

Washambuliaji wawili ambao ni kipenzi cha watanzania wengi wanapokuwa katika vilabu vyao vya Simba na Yanga Amis Tambwe na Laudit Mavugo kesho watakuwa maadui wakubwa kwa watanzania watakapoiongoza timu yao ya Taifa ya Burundi dhidi ya Taifa Stars

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS