Nay wa Mitego akumbana na rungu la BASATA

Katibu Mkuu wa Baraza hilo Bwana Geofrey Mngereza (kushoto) na Msanii Nay wa Mitego

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa msanii Nay wa Mitego unaojulikana kwa jina la 'Wapo' kutumika kwa namna yoyote ile kuanzia leo kutokana na kutokidhi vigezo na masharti yaliyowekwa na baraza hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS