Kiingilio mechi ya Taifa Stars chashushwa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF, limeatangaza kushusha bei ya kiingilio katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya Taifa Stars na Botswana utakaopigwa kesho (Jumamosi) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.