Hungary kujenga kiwanda cha mabasi Tanzania

Rais Magufuli akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi wa Hungary Mhe. Lazaro Eduard Mathe

Balozi wa Hungary hapa nchini mwenye makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Lazaro Eduard Mathe amemhakikishia Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli kuwa nchi yake ipo tayari kushirikiana na Tanzania katika kuendeleza sekta ya viwanda

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS