Sipangiwi kuzungumza Kiingereza - Shilole:
Msanii wa kizazi kipya Zuwena Mohamed 'Shilole' anayetamba na wimbo wa 'Hatutoi kiki' amefunguka kuwa hapendi kuzungumza lugha ya Kiingereza pasipo sababu kwakuwa ametumia gharama kuilipia lugha hiyo, na hivyo hakuna wa kumpangia kuizungumza.