Sumaye aikumbusha jambo serikali

Sumaye (katikati) akiwa na viongozi wengine wa Chadema

Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Chama cha Democrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani Mhe. Frederick Sumaye ameiomba serikali kusimamia misingi ya demokrasia katika kutatua malalamiko ya wananchi na kusimamia ustawi wa jamii ya Watanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS