Vibali uzalishaji wa viroba vyafutwa rasmi

Maboksi ya pombe za viroba

Serikali imefuta usajili wa vibali vya uzalishaji na Uingizaji wa aina 20 ya pombe kali za viroba zilizokuwa zimesajiliwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS