'Mahasimu' wa Nyamagana wapelekwa EALA

Masha (kushoto), Wenje (kulia)

Chama  cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimewapitisha makada wake Ezekiel Wenje na Lawrence Masha kugombea nafasi za ujumbe katika Bunge la Afrika Mashariki katika uchaguzi utakaofanyika mapema mwezi ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS