'Mahasimu' wa Nyamagana wapelekwa EALA Masha (kushoto), Wenje (kulia) Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimewapitisha makada wake Ezekiel Wenje na Lawrence Masha kugombea nafasi za ujumbe katika Bunge la Afrika Mashariki katika uchaguzi utakaofanyika mapema mwezi ujao. Read more about 'Mahasimu' wa Nyamagana wapelekwa EALA