Ujenzi 'Flyover' za Ubungo wazinduliwa

Magufuli na Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim wakifungua kitambaa ikiwa ni ishara ya kuweka jiwe la Msing la ujenzi wa barabara za juu (Interchange) kwenye makutano ya Ubungo March 20,2017

Ujenzi wa barabara za juu (Flyover) katika makutano ya barabara ya Ubungo umezinduliwa leo mara baada ya Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli na Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim kuweka jiwe la msingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS