Wanawake watakiwa kutoogopa ushindani wa kisiasa

Felix Lyaniva

Wanawake wametakiwa kujiongezea elimu na kushiriki katika vinyang’anyiro vya kugombea nafasi mbalimbali za maamuzi na uongozi ili waweze  kupigania haki zao wakiwa viongozi wenye weledi badala ya kuacha wanaume kushika nyadhifa zote za maamuzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS