Tanzania yafuzu michuano ya dunia

Timu ya Tennis walemavu wakati ikiagwa Tanzania kuelekea nchi Kenya kwa ajili ya mashindano hayo

Timu ya Tenisi ya Walamavu ya Tanzania imefanikiwa kufuzu kushiriki michuano ya Dunia BNP Paribas baada ya kuifunga Kenya kwa Seti 2-0 katika mchezo wa Fainali wa mashindano ya kufuzu ya Afrika yaliyofanyika nchini Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS