Simba na Yanga hakuna mafanikio - Uhuru Seleman

Uhuru Seleman

Mchezaji wa Kimataifa wa Tanzania anayechezea timu ya Royal Eagles ya nchini Afrika kusini Uhuru Seleman amefunguka na kusema mafanikio yake yamekuja baada ya yeye kutoka katika vilabu vya Tanzania na kwenda nje. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS