Jinsi Kigwangalla atakavyowakamata 'mashoga'

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Dkt. Hamisi Kigwangalla

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Dkt. Hamisi Kigwangalla amefunguka na kusema anataka kupiga vita tabia ya ushoga kwani anadai wanaofanya hivyo wanajiendekeza, huku akiweza wazi mtindo atakaotumia kuwakamata

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS