Jinsi Kigwangalla atakavyowakamata 'mashoga'
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Dkt. Hamisi Kigwangalla amefunguka na kusema anataka kupiga vita tabia ya ushoga kwani anadai wanaofanya hivyo wanajiendekeza, huku akiweza wazi mtindo atakaotumia kuwakamata