TFF yashtukia hujuma mechi ya Yanga Vs Ngaya

Mashabiki Yanga

Kuelekea katika mchezo wa marudiano mzunguko wa awali Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Ngaya hapo kesho Jumamosi, Shirikisho la Soka nchini TFF limetoa onyo kwa mashabiki waliopanga kubeba mabango yenye ujumbe wa kuikashifu serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS