China kujenga uwanja wa kisasa Chalinze

Maeneo ambako uwanja huo utajengwa, kushoto ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwan Kikwete

Halmashauri ya Chalinze, Mkoani Pwani, ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na Serikali ya China, ili kujenga uwanja wa kisasa wa michezo katika eneo la kijiji cha Msoga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS