China kujenga uwanja wa kisasa Chalinze Maeneo ambako uwanja huo utajengwa, kushoto ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwan Kikwete Halmashauri ya Chalinze, Mkoani Pwani, ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na Serikali ya China, ili kujenga uwanja wa kisasa wa michezo katika eneo la kijiji cha Msoga. Read more about China kujenga uwanja wa kisasa Chalinze