Serengeti Boys uso kwa uso na Mabingwa watetezi

Wachezaji wa Mali (U-17) wa kikosi kilichotinga fainali ya Kombe la Dunia kwa vijana

Timu ya taifa ya vijana ya Serengeti Boys imepangwa kundi moja la B na timu za Mali ambao ndiyo mabingwa watetezi katika fainali za michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17, zilizopangwa kufanyika nchini Gabon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS