Kigwangalla atoa sababu wasomi kufeli maisha
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Dkt. Hamisi Kigwangalla amefunguka na kuweka bayana sababu ambazo zinawakwamisha wasomi wengi kuingia katika biashara au kazi zisizo rasmi